| |
O Período Fetal (8 semanas até o Nascimento)
Capítulo 37 9 Semanas: Engole, Suspira e se Estica
|
| |
| Hatua ya tatu ya ujusu
huendelea hadi kuziliwa.
|
| Kufikai wiki ya 9
Kunyonya vidole gumba huanza
Na kijusu anaaza kumeza maji
mfukono mwake.
|
| kijitoto pia anaweza kushika,
kuelelekeza kichwa mbele na nyuma,
Kufungua na kufunga taya,
kuelekeza ulimi, na kujinyoosha.
Michocheo usoni, mikononi,
na wayoni yaweza kuhisi mguso.
Akiguswa kidogo tu mkuuni,
Kijusu ukunja ubavu na goti
na aweza kukunja vidole vya miguu.
|
| kope zimefungana kabisa sasa.
|
| Katika kooni na misulu ya sauti
hudhihirisha kuumbika
kwa vipasa sauti.
|
| kwa mtoto kike,chupa
(nyumba ya mtoto)huonekana
na chembe zalishi changa
ziitwazo "oogonia",
Yaanza kujizalishi
mfukoni mwa mayai ya uzazi.
Sehemu za nje ya uzazi zaanza kutambulika
Kama ni mume au kike.
|
Capítulo 38 10 Semanas: Revira os olhos e Boceja, Unhas e Impressões Digitais
|
| |
| Kukua kwa haraka kwa mtoto
kati ya wiki 9 na 10
huongeza uzito wa mwili
zaidi ya 75%.
|
| Kufikia wiki 10,
mwasho wa sehemu ya juu ya kope
huzababisha kusunguka kwa macho.
ukielekea chini
Kijusu anaweza kwenda miayo
na kuweza kufunga na kufungua kinywa.
|
| Vijusu vingi hunyonya
vidole gumba.
Sehemu ya matumbo
katika sehemu ya ukamba
Yaaanza kurudi nyuma
ya sehemu za tumbo.
|
| Kuumbika kwa mifupa kwa mfanyiko
huitwao "osifikisheni" huimarika.
|
| Vidole vya mkono
na miguu yaanza kuumbika.
|
| Ule alama ya kipekee ya vidole
hujitokeza wiki 10 tangu kutunga mimba.
Alama hizi zaweza kutumika
kutamblisha mtu maishini yote.
|
Capítulo 39 11 Semanas: Absorve Glicose e Água
|
| |
| Katika wiki 11
Pua na midomo
Umeuumbika kabisa.
Nayo sehemu zingine za mwili,
umbo zao zitabadilika katika kila kituo
Cha ukuaji wa binadamu.
|
| Matumbo yaanza kufuta maji na sukari
zilizo mezwa na kijusu.
|
| Ijapokuwa uzazi wa mtoto
huamuliwa
wakati wa kutunga mimba,
sehemu ya nje ya sehemu za siri
yadhihirika
Kama ni mume au kike.
|